Walemavu Dar waanza kupata maeneo ya biashara

Baadhi ya walemavu ambao hapo jana walifunga makutano ya barabara za Uhuru na Kawawa kupinga kuondolewa kutoka katika maeneo waliyokuwa wakifanyia biashara.

Siku moja baada ya watu wenye ulemavu kufunga makutano ya barabara za Uhuru na Kawawa kupinga kuondolewa katika maeneo waliyokuwa wanafanyia biashara zao, uongozi wa Mkoa wa Dar-es-Salaam umeanza kugawa maeneo kwa walemavu hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS