Serikali kuja na kanuni upimaji gesi asilia Mfanyabiashara akipima uzito na ujazo katika moja ya mitungi ya gesi asilia. Wakala wa Vipimo nchini Tanzania (WMA), umesema upo kwenye mchakato wa kuandaa Kanuni za upimaji na vipimo vya gesi asilia. Read more about Serikali kuja na kanuni upimaji gesi asilia