Umaskini kikwazo upatikanaji wa haki-Jaji mstaafu

Waziri wa katiba na sheria nchini Tanzania, Dkt Asha-Rose Migiro. Wizara yake ina jukumu la kuhakikisha haki inapatikana kwa makundi yote katika jamii.

Wananchi wenye kipato duni nchini Tanzania bado wanakabiliwa na changamoto ya kukosa haki zao za kisheria kutokana na gharama kubwa zinazotozwa na wanasheria katika utoaji wa huduma mbalimbali za kisheria hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS