TCA YAPELEKA CRICKET MASHULENI
Bonanza la michezo kwa wanafunzi wa shule za msingi mkoa wa Dar es salaam, limekusanya mamia ya wanafunzi toka shule mbalimbali, na wamepata mafunzo ya mchezo wa cricket toka kwa wakufunzi wa mchezo huo, kutoka chama cha cricket Tanzania (TCA).