Mbunge wa Lindi Mjini ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salum Barwany.
Serikali imetakiwa kupiga marufuku ngoma ya kigodoro pamoja na vazi la kangamoko ambayo imeliteka jiji la Dar es Salaam kwa madai kuwa ngoma na vazi hilo vinapotosha maadili.