Askofu awasihi UKAWA kurejea bungeni

Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Elinaza Sendoro.

Askofu mstaafu wa kanisa la kiinjili la kilutheri nchini Tanzania, Elinaza Sendoro, amewaonya wafuasi wa UKAWA katika Bunge Maalumu la Katiba kuacha misimamo inayotishia kukwamisha mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS