Bondia Francis Miyeyusho (Kushoto) na Mohamed Matumla (Kulia)
Mabondia Francis Miyeyusho na Mohamed Matumla hii leo wamepima uzito na afya zao tayari kwa mpambano wao wa raundi kumi kuwania ubingwa wa kimataifa wa UBO mpambano utakaofanyika kesho jijini Dar es salaam.