Uchaguzi mkuu Simba SC Juni 29, 2014 Baadhi ya wapenzi na wanachama wa klabu ya Simba Kamati ya uchaguzi ya Simba imesema kuwa Uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utafanyika Juni 29 mwaka huu na kutoa utaratibu mzima utakaofuatwa katika mchakato huo. Read more about Uchaguzi mkuu Simba SC Juni 29, 2014