Nikki Mbishi apania kubadili mtazamo
Mkali wa michano ambaye anafanya poa hapa Tanzania, Nikki Mbishi a.k.a Nikki Zohan, ambaye katikati ya mwaka huu anatarajia kuachia albam yake mpya 'Ufunuo', amesema, hatua yake ya kuachia albam hii ni kipimo cha ukubwa wa uwezo wake katika rap.