Nikki Mbishi apania kubadili mtazamo

Nikki Mbishi

Mkali wa michano ambaye anafanya poa hapa Tanzania, Nikki Mbishi a.k.a Nikki Zohan, ambaye katikati ya mwaka huu anatarajia kuachia albam yake mpya 'Ufunuo', amesema, hatua yake ya kuachia albam hii ni kipimo cha ukubwa wa uwezo wake katika rap.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS