Sheria mbovu kikwazo cha uhuru wa habari - utafiti
Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimetoa matokeo ya utafiti unaoonyesha kuwa baadhi ya sheria kandamizi zimechangia kutokuwepo kwa uhuru wa vyombo vya habari hasa kwa idara za serikali kuwa kikwazo cha utoaji taarifa kwa vyombo vya habari.