TUCTA yataka kima cha chini kiwe 720,000/- Katibu mkuu wa TUCTA, Nicholaus Mgaya Shirikisho la vyama vya wafanyakazi TUCTA limesema litapeleka kilio chao cha kima cha mshahara kiwe angalau 720,000 kwa ajili ya kukidhi maisha ya sasa kwa mujibu wa utafiti uliofanywa. Read more about TUCTA yataka kima cha chini kiwe 720,000/-