Akamatwa kwa wakala na fedha bandia
Jeshi la Polisi wilayani Kiteto mkoani Manyara, linamshikilia, Husseni Geni (32), mkazi wa Kijiji cha Kijungu wilayani humo kwa tuhuma za kukutwa na fedha bandia kiasi cha Tsh 240,000 ambazo alitaka kutuma kwa wakala wa fedha.