"Vijiji viadhimishe wiki ya lishe"RC Sendiga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameelekeza halmashauri zote mkoani humo kuandaa maadhimisho ya wiki ya utoaji elimu ya lishe bora katika ngazi za vijiji ili kukabiliana na tatizo la udumavu. Read more about "Vijiji viadhimishe wiki ya lishe"RC Sendiga