Rais wa Guinea kugombea tena Urais

Rais Obiang anaiongoza Guinea tangu mwaka 1979

Rais wa Guinea  Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ameiongoza nchi hiyo ya Afrika Magharibi kwa muda wa  miaka 43, amezindua azma yake ya kuwania tena muhula wa sita wa kuwa raia wa nchi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS