Ndege ya Precision Air yaanguka Ziwa Victoria

Eneo ambalo ndege ya Precision Air imeanguka ziwa Victoria Bukoba na shughuli za uokoaji zikiendelea.

Ndege ya abiria ya kampuni ya Precision Air imeanguka ndani ya Ziwa Victoria Bukoba mkoani Kagera asubuhi hii ya leo Novemba 6, 2022. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS