Wakataa fidia ya serikali wakitaka haki itendeke

Baadhi ya wanafamilia

Familia za watoto 70 nchini  Gambia waliofariki kutokana na majeraha ya figo , wanaodaiwa kuhusishwa na ulaji wa dawa za kikohozi zilizotengenezwa nchini India, zimekataa ofa ya fidia kutoka  serikali  ya nchi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS