Wananchi wahimizwa kuiunga mkono serikali

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akishiriki kazi za ujenzi.

Wananchi wa Wilaya ya Kalambo wametakiwa kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha miradi ya maendeleo ikiwemo zahanati na vituo vya afya vinakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS