Wahalifu mkoani Geita wapewa tahadhari
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Geita Safia Jongo, amewatahadharisha wahalifu wanaofanya mauaji na kukimbilia kwenye migodi ya uchimbaji madini kwa kuigiza wao ni wachimbaji kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia uhalifu wao lakini sio Geita