Wanaharakati wadai uchaguzi Kalenga ulivurugwa

Martina Kabisama, mratibu wa SAHRINGON Tanzania.

Vyama vya Chadema na CCM vinatuhumiwa kuhusika na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja na vitisho wakati wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa kiasi cha kuufanya uchaguzi huo kuwa na dosari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS