Tanzania ina kiwango kidogo cha kifua kikuu sugu Mkurugenzi mkuu wa NIMR Dkt Mwele Malecela. Tanzania imetajwa kuwa na kiwango cha chini cha wagonjwa wanaougua kifua kikuu chenye usugu wa dawa ambacho hakitibiki na dawa za kawaida zinazotumika kutibu ugonjwa huo. Read more about Tanzania ina kiwango kidogo cha kifua kikuu sugu