Katikakatika ya umeme kukoma Desemba

Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato

Serikali imesema kwamba hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba mwaka huu tatizo la umeme kukatika litakwisha mara baada ya mradi wa Kinyerezi 1 Extension utakotoa megawati 185 kukamilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS