"Rais ametuandikia historia" - Waziri Aweso
Rais Samia Suluhu, amesaini sheria ya marekebisho ya usimamizi wa rasilimali za maji ya mwaka 2022 (The Water Resources Management Act, 2022) kitendo ambacho kinatajwa kuimarisha bodi za mabonde ya maji katika kusimamia rasilimali za maji vilevile kuimarisha uhifadhi wa vyanzo vya maji.