"Rais ametuandikia historia" - Waziri Aweso

Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiwa na Rais Samia Suluhu Hassan

Rais Samia Suluhu, amesaini sheria ya marekebisho ya usimamizi wa rasilimali za maji ya mwaka 2022 (The Water Resources Management Act, 2022) kitendo ambacho kinatajwa kuimarisha bodi za mabonde ya maji katika kusimamia rasilimali za maji vilevile kuimarisha uhifadhi wa vyanzo vya maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS