Watendaji Muhimbili mjitathimini-Prof Makubi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ameutaka Uongozi wa Chuo cha kati Elimu ya Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUCOHAS) kujitathimini katika uwajibikaji wao na namna ya Uongozi unavyoendesha mambo yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS