Ruben Amorim kutangazwa muda wowote Man United
Klabu ya Sporting Lisbon imetoa tamko kuhusiana na klabu ya Manchester United kukubali kulipa kiasi cha fedha bilioni 17 za Kitanzania ili kuweza kupata huduma ya Kocha wao Ruben Amorim ambaye anahitajika na klabu hiyo ya Uingereza kuchukua nafasi ya Erik Ten Hag waliyemfuta kazi jana