Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mfano wa Mji Mpya wa Serikali ya Korea Kusini
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha upatikanaji wa wataalam, dawa, vitendanishi na vifaa tiba.