Serikali kuimarisha utoaji wa huduma za afya

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mfano wa Mji Mpya wa Serikali ya Korea Kusini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha upatikanaji wa wataalam, dawa, vitendanishi na vifaa tiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS