Wananchi waua Askari wawili na raia 

Mkaguzi wa Jeshi la Uhamiaji Salum Msongela Mpole, aliyeuawa na wananchi mkoani Geita

Watu watatu wamefariki dunia mkoani Geita, wakiwemo askari wawili wa Jeshi la Uhamiaji baada ya wao kupata taarifa za uwepo wa wahamiaji haramu kwenye moja ya nyumba katika Kijiji cha Mtakuja wilayani Mbogwe mkoani humo na ndipo ilipotokea sintofahamu na wananchi kuwashambulia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS