Sudani yamfuta kazi kamanda wake
Utawala wa kijeshi wa Sudan umemsimamisha kazi kamanda wa jimbo la kusini mwa nchi hiyo Blue Nile na kumteua kamanda mpya.Jeshi la nchi hiyo limetangaza hayo kupitia msemaji wake Nabil Abdallah aliyeeleza kuwa uteuzi wa kamanda mpya, ni sehemu ya juhudi za kushughulikia matukio ya kusikiti