Waziri Mkuu mpya Uingereza aahidi kuwa mnyenyekevu
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza Rishi Sunak (42), amewaahidi Waingereza kuwa atawahudumia kwa uadilifu na unyenyekevu na kusema licha ya Uingereza kuwa ni nchi kubwa lakini inakabiliwa na changamoto za kiuchumi na kusisitiza utulivu na umoja.