
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza Rishi Sunak (42)
Rishi Sunak, amethibitishwa kuwa kiongozi anayefuata wa chama cha Conservative, na Waziri Mkuu baada ya kuwa mgombea pekee baada ya mgombea mwenzake Penny Mordaunt kujiondoa kabla tu ya muda kuisha, ambapo katika hotuba yake amesisitiza.
Sunak amesema "Nanyenyekea na kuheshimu kuungwa mkono na wabunge wenzake na kuchaguliwa kuwa kiongozi, ni bahati kubwa maishani mwangu kuweza kutumikia chama ninachokipenda na kurudisha nchi ninayodaiwa sana."