Dereva wa basi akamatwa na Leseni ya pikipiki

Jeshi la polisi mkoani mwanza linamshikilia Dereva wa basi la abiria lenye namba za usajili T 622 EFG linalofanya safari zake mkoani mwanza kwenda Morogoro kwa kukutwa na leseni ya kuendesha pikipiki huku yeye ni dereva wa basi la abiria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS