Ulicheza na pesa za miradi nakufuta kazi - Bulembo

Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Halima Bulembo ametishia kuwaondoa kazini watendaji watakaofanya mchezo na shilingi milioni 180 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwajili ya ujenzi wa vyumba 9 vya madarasa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS