Meya Arusha atoa onyo kwa watoa taarifa za uongo

Meya wa jiji la Arusha Maxmilan Iraqhe ametoa onyo kwa  mtu yeyote atakaebainika kutoa taarifa za uzushi zinazolenga  kuchafua  hadhi ya halmashauri ya jiji hilo hasa katika upande wa mapato kwani kwakufanya hivyo ni kinyume cha taratibu zilizowekwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS