Miaka 17 kwenye ndoa na hawaonani
Ni ndani ya Jiji la Dar es Salaam ambapo kelele za utafutaji wa maisha zinashindana na ndoto za walio wengi, hapa ndipo kuna hadithi ya maisha ya Bw. Hamis Omary Uchuro na Bi Hadija ambao ni walemavu wa macho wakazi wa Kijitonyama, jijini Dar es Salaam.