Milioni 31,282,331 wajiandikisha uchaguzi S/Mitaa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa

Watanzania milioni 31,282,331 wamejitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la makazi nchi nzima ikiwa ni Sawa na 94.83%, ya lengo la watu walio kwenye umri wa kujiandikisha ambao ni milioni 32,987,576 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS