Ajali yaua wanakwaya watano Kilimanjaro Watu watano ambao ni wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wamefariki Dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kuingia kwenye daraja. Read more about Ajali yaua wanakwaya watano Kilimanjaro