DC Bahi Aagiza Polisi Kuchunguzwa
Mkuu wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Rebeca Nsemwa ameagiza Taasisi ya Kuzia na kupambana na Rushwa TAKUKURU kuwachunguza msaidizi wa kituo cha afya Bahi pamoja na polisi kata Chipanga kuhusu utatata uliojitokeza kifo cha mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Lucia