Mama na mtoto wafariki ajalini wakitoka chuoni

Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga

Mama mwenye umri wa miaka 35 na mtoto wake wa miezi 10, wamepoteza maisha baada ya kukanyagwa na gari wakiwa kwenye bodaboda eneo la mtaa wa Nguzo Nane, Manispaa ya Shinyanga akitokea Morogoro kufuata vyeti vyake Chuo Kikuu cha Mzumbe huku mwendesha bodaboda akitokomea kusikojulikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS