Tanzania kujadili ishu za wakimbizi Geneva Uswisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema anatarajia kuiwakilisha Serikali ya Tanzania katika Kikao cha 73 cha Kamati Tendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wakimbizi (UNHCR).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS