Umoja wa Ulaya kuwasaidia Watanzania vijana

Baadhi ya viongozi wa Umoja wa Ulaya

Katika kuendelea kukuza ushirikiano kati ya Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) na Tanzania, mataifa hayo yamedhamiria kuwasaidia vijana wa Kitanzania wanaojihusisha na kazi za sanaa na utamaduni, kwa kuanzisha mradi utakaogharimu Euro elfu 60.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS