Harmonize afunguka baada ya Killy na Cheed kusepa Picha ya Harmonize na Cheed na Killy CEO wa lebo ya Kondegang Harmonize amefunguka baada ya taarifa ya kuwatena wasanii wake Killy na Cheed akieleza kwamba anawaamini hawatomuangusha pia wana kila sababu ya kuwa wasanii wakubwa. Read more about Harmonize afunguka baada ya Killy na Cheed kusepa