Watoto wa kiume 1,114 walilawitiwa mwaka jana

Waziri wa maendeleo ya Jamii wanawake na makundi maalum Dkt Dorothy Gwajima

Waziri wa maendeleo ya Jamii wanawake na makundi maalum Dkt Dorothy Gwajima amesema katika kipindi cha mwaka jana pekee watoto wa  kiume wapatao 1,114 wamelawitiwa ambapo ni sawa na wastani wa watoto 93 wa kiume wanafanyiwa ukatili huo kila mwezi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS