Tanzania na Kenya waondoa vikwazo 54 Serikali ya Tanzania na Kenya imefanikiwa kuondoa vikwazo 54 vya kibiashara kati ya 68 na kuwataka Mawaziri wa Sekta ya Biashara na Uwekezaji wakutane haraka kufanyia kazi vikwazo 14 vilivyobaki. Read more about Tanzania na Kenya waondoa vikwazo 54