Mzee wa miaka 70 mbaroni kwa ulawiti

Polisi huko katika maeneo ya Tharaka-Nithi , wanamshikilia mzee mmoja mwenye umri wa miaka 70 akituhumiwa kuwalawiti watoto wawili wa kike wenye umri kati ya miaka 7 na 11    huko katika maeneo ya Kirangare  nchini Kenya.  

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS