Wawili wafariki katika machimbo Arusha

Watu wawili  waliotambulika  kwa majina ya  Baraka Mollell na Enock  Lembris wamefariki na mmoja akijeruhiwa  baada ya kuangukiwa na kifusi  katika machimbo ya moramu ya mgodi wa Ngurumausi uliopo katika kata ya Muivaro jijini Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS