LHRC yaitaka serikali kufuta adhabu ya kifo Wakili Anna Henga, Mkurugenzi Mtendaji LHRC Kituo cha Sheria na Haki za Binadam (LHRC) kimeitaka serikali kufuta adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wanaohukumiwa adhabu hiyo kwakuwa ni kinyume na haki ya kuishi. Read more about LHRC yaitaka serikali kufuta adhabu ya kifo