Wakusanya mapato watakiwa kuongeza juhudi

Kamishna wa Sera wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Elijah Mwandumbya (kushoto), akifuatilia michango ya wadau wa ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, wakati wa Semina ya taratibu za ukusanyaji wa mapato hayo, jijini Dodoma. Kulia ni Mchumi mkuu wa Idara ya Sera, Bw. Jamal Nchula.

Serikali imezitaka wizara, idara zinazojitegemea na taasisi za Serikali zinazokusanya Mapato yasiyo ya kodi, kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato ili kufikia malengo ambayo Serikali imejiwekea kwaa mwaka wa fedha 2022/2023.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS