Ruger aitamani kolabo ya Bob Marley

Pichani ni msanii Ruger na Bob Marley

Msanii Michael Adebayo Olayinka Maarufu kama Ruger kutoka nchini Nigeria amefunguka moja kati ya wasanii ambao angetamani kabisa kufanya nao wimbo kama wangelikuwa hai basi ni mfalme wa muziki wa rege duniani Robert Nesta Marley Maarufu kama Bob Marley

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS