Ujenzi wa miradi kukuza utalii kanda ya ziwa

Ujenzi wa mradi wa Daraja la JPM, Mwanza

Miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa na Serikali mkoani Mwanza inaenda kufungua fursa za utalii katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali, amesema Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS