Ten Hag aruhusu Ronaldo kuondoka, Januari
Ripoti kutoka nchini England zinaripoti kuwa kocha wa Manchester United Eric ten Hag yupo tayari kumruhusu mshambuliaji wake Cristiano Ronaldo kuondoka klabuni hapo kwenye dirisha dogo la usajili la mwezi Januari 2023 kama wakipata ofa sahihi ya kumuuza mchezaji huyo.