CRDB yawashukuru wateja wake

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni akikabidhi zawadi kwa mmoja ya wateja wa CRDB benki.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB, Dkt. Redempta Mbatia (kushoto) katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja yenye kauli mbiu "Sherehekea Huduma"

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS