Bila BASATA hupati visa kwa wasanii Picha ya Meneja D Figther na msanii wake Phina Tz Meneja wa msanii Sarahina Tz (Phina) D Fighter amesema kuna ugumu kwa msanii kupata Visa ya kusafiria kama hujasajiliwa na kutambuliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Read more about Bila BASATA hupati visa kwa wasanii