
Picha ya Meneja D Figther na msanii wake Phina Tz
Akizungumza mbele ya Planet ya East Africa Radio Meneja D Fighter amesema "Mara nyingi ugumu unakuja kama msanii hajajisajili BASATA, inabidi Baraza likutambue kama msanii na iwe rahisi kutoa barua kufika katika balozi ya hiyo nchi".
Meneja D Fighter amesema hayo baada ya taarifa ya Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Babu Tale kujitolea kupambania Visa za wasanii wa Bongo kusafiri kuwania tuzo za AFRIMMA 2022.